leo October 17 2013 ametajwa mmoja kati ya wasanii wa kimataifa watakaoonekana kwenye stage ya Fiesta 2013 Leaders Club.
Taarifa inasemekana kwamba ni wasanii wa nne wa kimataifa
wataonekana kwenye Serengeti Fiesta Dar es Salam , yani wanne kutoka nje ya Tanzania.
Wa kwanza ametajwa leo ambae ni Davido kutoka Nigeria, staa ambae
anaongoza Afrika kutokana na
hits zake… wakati tukisubiri staa mwingine kutajwa kesho kupitia Clouds
FM.
No comments:
Post a Comment