Nyawana
Fundikira (Malkia wa Kinyamwezi) amefariki leo mchana nyumbani kwake alipokuwa
akiishi na mumewe Kaisi baada ya kuzidiwa na Malaria kali, na Baadaye mwili
ulipelekwa Mwananyamala Hospitali. Nyawana alikuwa muimbaji wa taarabu lakini
pia ni mtangazaji wa kipindi cha AMBAA NA MWAMBAO kila siku ya jumamosi kuanzia
saa Tisa Mchana na jumapili kuanzia saa
kumi na moja jioni hadi saa tatu usiku. PASSION FM DAR ES SALAAM.
Msiba upo kwa baba yake
maeneo ya Magomeni kwa Bibi nyau karibu na msikitini, Mwili wa marehemu
utasafirishwa kesho jioni kwaajili ya mazishi nyumbani kwao Tabora alipozaliwa
na kukulia Marehemu
No comments:
Post a Comment