Thursday, 24 October 2013

BAADA YA KUTOKA EDA WANAUME WAANZA KUMSUMBUA BI KHADIJA KOPA


Mwimbaji marufu wa Taarabu nchini Malkia wa Mipasho Khadija Omari kopa asmema kwamba baada ya kutoka Eda wanaume wanazidi kumsumbua kwa kutaka kumuowa.
Akizungumza moja katika Redio marufu Times Fm katika kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kinachotangazwa n( Dida) alisema Khadija kwamba

“Tangia nitoke Eda wanaume wanazidi kunisumbua kwa kunitaka kuniowa kwa njia mbalimbali lakini bado sijafikiria swala hilo kwani hawezi kupata mwanaume kama mumewe wanaume wengi magumegume watamlia tu pesa zake”Alisema Khadija Kopa

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...