Info
zinasema kuwa Mzee Isaac Sepetu alikuwa mgonjwa kwa muda wa miezi kadha hivi
karibuni na amekuwa akisumbuliwa na maradhi ya kiharusi na kisukari.
Baba Wema
Sepetu amewahi kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje mnamo miaka ya 1970
wakati wa utawala wa awamu ya kwanza chini ya Mwalimu Julius Kambarag
Nyerere. Vilevile, aliwahi kuwa balozi nchini Urusi tangu mwaka 1982
wakati wa utawala huohuo wa Nyerere.
Na March 27 2013 Balozi Sepetu aliteuliwa na Rais wa Zanzibar, Dr Mohammed Shein, kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Uwekezaji Vitegauchumi ya Zanzibar (ZIPA).
Mwenyezi Mungu Ailaze Roho Ya Marehemu Mahali Pema peponi.
Na March 27 2013 Balozi Sepetu aliteuliwa na Rais wa Zanzibar, Dr Mohammed Shein, kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Uwekezaji Vitegauchumi ya Zanzibar (ZIPA).
Mwenyezi Mungu Ailaze Roho Ya Marehemu Mahali Pema peponi.
No comments:
Post a Comment